Ijumaa, 27 Desemba 2013

UJANA ULIO SALAMA



KANUNI  ZA  KUTUNZA  UJANA  WAKO;

Ujana kama lulu ambayo inathamani kubwa sana katika dunia ya sasa hivyo inahitajika sana kutunzwa ili iweze kuendelea kuwa bora sana na yenye manufaa katika kizazi chote. Kama inavyojulikana wazi kitu chochote kisipotunzwa basi kunahali ya kuharibika ambayo inakaribia na isipoangaliwa jambo baya linaweza kupelekea kutia nanga katika ujana.

Jua kama usipo jitambua na kujithamini hakuna mtu atachukua nafasi yako na kufanya yale uliyotakiwa kujifanyia wewe binafsi.

Unaweza kutamani kuwa kijana unaye jitunza lakini usipofuata kanuni ambazo zinazo kuwezesha kujitunza hauwezi kuwa kijana wa maana kwa Mungu na kwa wanadamu na hatimae dunia ikafaidika kupitia wewe.

Kila namna unatamani kuwa lazima pawepo na namna ya kukufanya wewe kuwa mtu husika mathalani ukita kuwa mwalimu mzuri kuna kanuni za kukufanya uwe hivyo na vilevile ukitaka kuwa mwanafunzi bora lazima kuna kanuni/namna ya kukufanya mwanafunzi bora unaweza ukatamani kuwa mtu yeyote kwa namna ya mtazamo wako ulivyo lakini kama ujafuata kanuni zilizowekwa kamwe hauwezi kuwa vile unatamani.

Hivyo unaweza kutamani sana lakini kama tu hautafwata kanuni kamwe hauwezi kufika pale unafikiria hivyo
 KUTAMANI  BILA  KUFUATA  KANUNI  HAKUNA  KITU KITAKACHOFANYIKA.

Kanuni za kutunza ujana wako katika kiwango cha Mungu;

i.kumpenda Mungu

ii.pendo la Mungu kuchukua nafasi ndani yako

iii.usiogope

iv.macho ya rohoni

v.ukaribu

vi.kumtazama Mungu

vii.kujitunza

viii.uaminifu

ix.usijiamini

x.maongezi


Prepared by ;
                     Nelson, Cothey – 0764 018 535 or cotheyn@yahoo.com
                   
                     Katiti, James       - 0713 398 042 or james.adili19@gmail.com             

Ijumaa, 6 Desemba 2013

NAMPENDAJE MUNGU?



KUMPENDA   MUNGU

Hiki ndicho kitu ambacho Mungu anakitaka kiwe kwa mtu anaye mwamini na kusema kuwa anaishi kwa matakwa ya Mungu, ili ni jambo ambalo mtu yeyote anapotambua kuwa unampenda basi mtu huyo uwa na furaha na wewe na nivigumu kukuacha kirahisi kirahisi tu.

Ni jambo linaloleta furaha kwa Mungu anapotambua unafanya yote kwake kwa sababu moja tu kuwa UNAMPENDA. Hakuna jambo lolote unaweza kumfanyia Mungu likambariki mbali na kumpenda hata yawe mambo ambayo watu  watakuogopa au kukuheshimu kwa mambo makubwa unayo yafanya mathalani utoaji,kuomba,kuhubiri hama kutoa unabii.( tendo lolote lisiloambatana na pendo kwa Mungu alina kibali machoni pa Mungu).

Hata katika hali ya kibinadamu unaweza kufanya jambo lolote kwa mtu hata ukimpa mtu madini “Tanzanite” kwa binadamu mwenye akili timamu akigundua hii zawadi haijatoka katika moyo wa kunipenda hawezi kupokea hiyo zawadi.

Moja ya jambo gumu katika kumpenda Mungu ni namna gani nampenda Mungu kwa wakati gani na katika matendo yapi kwa maana Mungu haonekani kwa macho haya ya nyama, kwakua kwa upande wa kibinadamu mtu unayempenda au anaye kupenda utauona katika udhihirisho wa upendo wake na hapo inakuwa katika nafasi ya kutambua nafanya nini katika hili.

Japo Mungu haonekani kwa macho haya ya nyama lakini kumpenda hakupo katika hali ya kufikirika bali hali inayohusisha hisia zako,hali ya moyo wako inabeba pendo la Mungu, ukweli kwamba huwa atumpendi Mungu kwasababu tu alitupenda bali wajibu wetu kwake kumpenda yeye  ilituweze kutenda wajibu wake kwetu katika hali ya kumpenda.

Mungu afurahi sana kwakua unatumika bali unampenda ndomana unamtumikia katika hali stahiki kwa furaha,kumpenda Mungu sio vile watu wanavyompenda bal ni vile anavyotaka umpende kwa namna yake hakuna namna moja ya kumpenda Mungu kutoka kwa mtu mathalani mtu anakesha sana katika maombi basin awe ukaamua kukesha katika maombi ukijua huku ndiko kumpenda Mungu.

Napenda kusema kuwa ni rahisi sana kumpenda Mungu kwa nafasi yako au mtazamo wako lakini ni ngumu sana kumpenda kwa matakwa yake.

Kumpenda Mungu ni tofauti kabisa na kumpenda mtu yeyote au kitu chochote hivyo kumpenda Mungu ni uwanja mpana sana na wala sio wakufikia hatua ya kusema kuwa mimi nampenda sana Mungu kwakua nafanya hili au lile utakuwa unajidanganya mwenyewe.

Warumi 8:35,37 na 39


Nini maana ya kumpenda Mungu?

Japo ziko maana nyingi ambazo watumishi pamoja na wanajamii wakizungumzia juu ya kumpenda Mungu wapo wanasema kumpenda Mungu ni kuhika neno la Mungu, wengine wanasema ni kutenda matendo ambayo Mungu atayafurahia na wengine wanasema ni kuwatendea mema binadamu wenzako napia wapo wanaosema kujali yatima na wajane….

KUMPENDA MUNGU ni hali ya siri za Mungu zinapatikana tu kwa wenye kumkubali Roho mtakatifu na kukubali kuingia gharama yeyote ili mradi tu yale ya Roho mtakatifu kupata nafasi ndani yako(kufanyia kazi).

Japo katika katika kitabu cha yohana 14:23…yesu akajibu,akamwambia,mtu akinipenda, atalishika neno la Mungu; na baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake na kufanya makao kwake , na kufanya makao kwake.

-swala kubwa nalishikaje neno la Mungu je! Kwaku lisoma tu na kulitendea kazi kwa namna ipi?

Zaburi 119:61,72 na 77

Warumi 8:28

Warumi 5:5

Yohana 14:23-24

Mathayo 12:31-32

Roho mtakatifu ni wa muhimu sana na hivyo kupitia huyo anaweza kukusaidia kukufanya yale Mungu anayotaka kwa ufasaha zaidi na pasipo huyo hakuna kumpenda Mungu kwakua ni yeye ajuaye namna gani Mungu anavyotaka kupendwa.

1 wakorintho 2: 9-10

Jambo lolote unaloweza kulifanya nje ya muambatano na Roho mtakatifu aliwezi kupata kibali kwa Mungu.
Mungu hataweza kukupenda wewe au pendo lako alitafika kwake(Mungu) ila tu umekubali kufanyika kuwa mwana wa Mungu.

Yohana 1:12,15

Hili ni jambo ambalo Mungu analipenda kama kupendwa katika moyo wa kweli katika mwenendo mzima wa maisha yako.

Mithali 8:17

Unapoanza kumpenda Mungu (kumcha) anaanza kushughulika nawe katika kila kona ya maisha yako.

Mwanzo 15:15

Wakolosai 3:3

Mithali 10:27

Waamuzi 8:32

Yoshua 14:11

1 Nyakati 15:2(b)

Warumi 1:28

Katika yote ni vizuri kutambua kuwa kama usipo mpenda Mungu katika kweli Mungu hawezi kukupenda…yohana 14:24,

Anza kumpenda Mungu kwanza kisha fanya yale yanamuhusu Mungu kwa ukamilifu ndipo hapo kila tendo litapata kibali kwa Mungu.

Torati 30:15-16

MPENDE  AKUPENDE  KWA  AJILI  YA  FAIDA  YAKE  MUACHE  HAKUACHE KWA  HASARA  YAKO,

*kama ukimpenda ni wazi utamsikiliza kwa kupenda.

Prepared by ;
                     Nelson, Cothey – 0764 018 535 or cotheyn@yahoo.com
                    Katiti, James       - 0713 398 042 or james.adili19@gmail.com             



Alhamisi, 17 Oktoba 2013

KIJANA KATIKA KUJIKOMBOA



KIJANA  NI  NANI  NA  AFANYE  YA PI  ILI  KUJIKOMBOA?
 
Kijana ni hatua ya kujivunia sana kwani ni wakati wa kutambua na kuona mwanga sahihi wa maisha na kutambua kwanini upo na unahitaji nini ili uweze kuwa wa maana zaidi sana. Tuta kwenda kuangalia kwa namna ambayo itatusaidia kujitambua kuwa kijana ni nani na kuanza sawasawa na ulivyoelewa kwa pamoja tukielimishana tunaweza kufika mahali pa juu zaidi ambapo tunaweza kung’ara.

Ujana ni bidhaa adimu sana na ghali sana kwakua haiko hatua ambayo unaweza kuilinganisha na hatua hii kwakua ni ya kipekee na yatofauti sana.

Kijana ni nani?

Yoshua 21:18

kutokana na takwimu na maelezo ya watu mbalimbali wamejaribu kuelezea maana ya kijana katika namna mbalimbali mathalani muonekano wa kijana, nguvu katika utendaji, mawazo ya kijana na uchumi wa mtu aliye kijana na hata matumizi wa huo uchumi wa mtu huyo anaitwa kijana.

Kutokana na maelezo hayo mbalimbali lakini mimi nitajikita katika umri ambao tunaweza kupata maana ya kijana ni mtu aliye na umri ulioanzia 18 hadi 45 ni hatua ya kati kutoka utoto kwenda utu uzima.

Kijana kama kijana jua kwamba unalokusudi ambalo linabidi utoke na kwenda kwa jamii kubwa nao kupata kitu ambacho kitawafanya wa kukumbuke na waone fahari ya wewe kuwa pamoja nao.

Vijina katika dunia tuliyonayo ndio wanaoshangaza ulimwengu na kuufanya vile wanavyo taka wako vijana wengi wamejiingiza katika biashara ya madawa ya kulevya na wengine kujiingiza katika vitendo vya ngono katika kujirahishia maisha yao na wengine kufanya vitendo vya uhalifu kama vile ubakaji,wizi(ujambazi) na hata wengine kushiki katika kujitoa mwanga kuwatayari kujitoa kwa ajili ya maisha yao na mengine mengi ambayo vijana wamejiingiza katika hayo na hatimaye kupelekea kuwa katika majanga mbalimbali kama vile kifo.

Dunia ya sasa hakuna mitu mzuri ambaye anatafutwa kwa hali na mali kama kijana kwakua imefika nyakati kusema kwamba dunia ndio muhimiri wa dunia kupitia hao wanaweza kuifanya dunia kuwa katika hali tofauti ambayo watakayoikusudia katika hali njema au mbaya inawategemea wao.

Imekuwa ni kilio cha watu wengi hasa wazee kwa kuona vijana wanaangamia katika majanga yanayoikabili dunia ya sasa imekuwa zaidi ya tatizo kwakua kila majanga yanayotokea basi lazima kwa kiasi kikubwa wahusishwe watu ambao hasa  ni vijana ingawa kwa kiasi kikubwa hili kundi la vijana halifaidiki ipasavyo lakini linatumika sana huku likiendelea kuteketea.

Kusema ukweli kilio hiki sio cha wazazi au wazee tu bali hata Mungu mwenyewe ni anasikia maumivu makubwa kutikana hile hazina iliyo ndani ya mwanadam ambayo aliiweka mwenyewe kwa ajili ya kusudi lake lakini matokeo yake ile hazina inatumika kwa ajili kuubomoa ule ufalme wake anakosa furaha ya kujivunia vijana ambayo walitakiwa wabebe sura yake,nguvu zake,mmlaka yake hapa duniani kwa kufanya yaliyo yake.

Japo katika hali hii utaitole hesabu ya nguvu na uwezo binafsi aliyokupa Mungu umeitumiaje wakati ambao hakuta kuwa na wakati wakurudi nyuma tena.

I saya 47:8-11,15

I wakorintho 7:32

Maombolezo 3:27

Vijana wengi wamepotelea katika maisha ambayo hatima yake ni kupotea kabisa pasipo matumaini mema mbayo Mungu alikusudia ndani ya neno lake Mungu anasema kwamba afurahishwi na kifo cha mwenye dhmbi, kwakua hana matarajio mabaya kwa mwanadamu yeyote mbaye yeye Mungu alimkusudia.

Ezekieli 33:11
   
  “Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi,asema BWANA , ni mawazo ya amani wala sio mabaya kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.”

Yeremia 29:11

Mungu ajaweka jehanamu kwa ajili ya kuangamiza maisha ya mwanadamu bali ilikuwa ni kwa ajili ya shetani na malaika wote walio muasi na sio kwa ajili ya mwanadamu hivyo Mungu umia sana kuona watu wakienenda na hatima yao kuwa sawa na shetani anapokwenda.

Japo kuna maneno ambayo wanadamu wanasema kuwa Mungu ametuacha ukweli ni kwamba ni sisi ndio tulio muacha Mungu kwakujua au kutokujua.

Mungu akumtengeza kijana kwa namna alivyo kwa kusudi kwamba aje ateseke naye Mungu afurahie kwa kuteseka kwako kamwe hilo silo kusudi la Mungu lisivyokuwa kusudi la mzazi kwa mwanae aliye mzaa.
Katika hali ya uhalisia ni kweli kwamba sio utoto au ujana wala utuuzima waeza kukuwezesha uweze kufanya upasavyo bali ni Mungu tu ndani yako akuwezeshe WOKOVU  HALISI.

Yohana 15:5

Ukweli utakapo ujenga ujana katika misingi mizuri ni wazi hapo ndipo utaona ustawi mzuri wa Ki Mungu ndani ya hatua zinazofuata pasipo upingamizi wowote utakao kushinda bali vyote vinakuwa ni rahisi kufanyika kwa Mungu anatembea kupitia wewe.

Na ndipo hapo utaweza kustarehe katika ujana wako na kufurahia maisha yako yote kwakua furaha yako itakuwa ikilindwa na Mungu.

Yohana 21:18

Ujana ni hatua ambayo akili inapevuka na kuuhitaji kujua vitu vingi na vitu vingine ambavyo alikuwa mwanzo anakosa uhuru kuvijua basi tumia fursa hiyo kujua zaidi sana kuhusu Mungu ili upone na dunia hii iliyojaa kila haina ya matatizo.

Wakolosai 2:23

Yeremia 3:4-5



Prepared by ;
                     Nelson, Cothey – 0764 018 535 or cotheyn@yahoo.com
                   
                    Katiti, James       - 0713 398 042 or james.adili19@gmail.com





Ni vizuri tuseme kuwa tunakupenda……………siku njema!!


Ijumaa, 4 Oktoba 2013

HOW TO BUILDING YOUR YOUTH



                                         HOW TO BUILDING YOUR YOUTH

In the process, about being young and having a value for only money and many things seem valuable to a human being again look at the next element .

                                          III. Freedom a decision that  you took

Every family has a way of treating or caring for his people in the community there are people who have the freedom and independence and others who have made all the decisions were taken there and eventually they became what they are .

No matter which remain in your heart as long as the decisions that formed it is then placed in a bad situation , stir in these circumstances none of the blame but yourself.

No matter what pressure push you ultimately decide the decisions that you took it but it is the result that you  carried after the decision.

That took your decisions without knowing precisely the relevant matter and there are decisions that took Akua saw is accurate at the time but in the end the injuries your heart .

Ezekiel 16:15-16,22-26

You were given great freedom in your home to parents for the purpose of your life and to make them happy for your success but you use that freedom in your interest regardless of the correctness of something even then you see the results.

Remember that when you have done something remains that history in your life and do not delete but remains a memory that can be a force in your life or not to make a decision and all power depend on yourself.

Possible was being rejected to share some evil thing due to sound doctrine being taught by your parents and what you have learned and done it is your life but from the words of the man and convince eventually decide to agree with him and eventually you see the results can be bad or good depending on circumstance itself .

Matthew 7:10-23

Perhaps earlier was a good person so much that you personally have desired but you meet a friend whom significantly changed your life and be kind to him that he will enjoy ( using drugs ( marijuana , powder , etc. ) , masturbation and you agree to these options yet is corrupted psychology (mind ) . , that God did not happy but given the freedom to enter perhaps even without being allowed to see the results eventually .

II Peter 2:14-15

Ephesians 5:11-12

No friends will love IN ALL STATE ,
( Love can decrease eventually disappear. Jesus is a true friend)


NB:

I. Come back to God ( salvation )

God loves you as you are he is the one source to form men but when God saved you  you have God 's approval for the difference.
Even if you have lost direction in God know that there is the right direction which you believe you will find the right direction.
God is not like men to judge but he thinks about how to remove you think about where you are and go somewhere else at your excellence in your life .

II Chronicles 33:1-3,11-13
See it really was a sin against God you open or admit that you do not mind one who was offended God and have now decided to return wholeheartedly without looking left or right .

Proverbs  28:13

Indicates that you need  God more than anything in him there is  safety and not somewhere else and you know that the plan of God is going to fulfil and not the plan for your partner and yourself so God required on your side everything will be okay.

Show situation that you need  God he can change today became tomorrow and tomorrow became today it has the power to change your history and give you another story better than the way you think.

Note the non- use your body and your time but have now decided to offer your body to God alone.

I Corinthians 6:19

II Corinthians 7:9-10





PREPARED by ;
                     
                     Nelson , Cothey - 0764 018 535 or cotheyn@yahoo.com
                    
                     Katiti , James - 0713 398 042 or James. adili19 @ gmail.com