Jumatatu, 12 Agosti 2013

MAHUSIANO BAINA YAKO NA MUNGU KUWA YENYE NGUVU



HALI  YA  KUWA  WEWE NA MUNGU KUWA  YENYE  NGUVU                
                                        NDANI   YAKO:     

Ili mahusiano yoyote yawe na nguvu yanawategemea wahusika wenyewe wanavyo yafanya yawe na nguvu au yasiwe na nguvu. Kwa hakika hao ndio walio beba hatma yao yakuendeleza urafiki wao au la!           
              Yohana 15:13-15
    Daudi na Jonathan, sauli hakuweza kuutengenisha urafiki wao.
               Isamweli 18:1-4.
Katika urafiki kati yako na Mungu hiko wazi hauna tatizo bali tatizo liko upande wetu namna inakuwa shida kutokana mambo mbalimbali yanavyo tusonga, katika mambo hayo yako unayoshinda na mengine unashindwa.
                 Warumi 8:35.   
-japo sio kitu kizuri kusahau makubaliano yenu kwa kisingizio kuwa mambo mengi yanayo kukabili.
      
Kunamchanganuo ulio kati yako na Mungu wakuonyesha hali mliyo nayo.
                                    Mathayo 13:3-9

i.  zilianguka karibu na njia
ii. zilizoanguka kwenye miamba
iii. zilizoanguka kwenye miiba
iv. zilizoanguka kwenye udongo mzuri.

Hizi zote ni hatua waweza kutoka hatua moja kwenda nyingine kama ukiamua kutoka hapo na si vinginevyo.



I.zilizoanguka karibu na njia.
-ni mtu ambaye anajikuta anafuraha pasipo sababu, hatua hii mtu upenda sana kwenda kanisani ni hatua za awali uwa na furaha anapoona wakristo wenzake wakati mwingine ujisahau kuona kuwa hali aliyo kuwa nayo kuzani wote wana hali hiyohiyo.(ugeni wa ulimwengu mpya).
Hiki ni kipindi cha matazamio sio cha kudumu ntu yeyote wakati wowote chochote cha weza fanyika, anaweza akaona nyekundu imekuwa ya njano halafu akashindwa kuelewa.
-hii furaha muda wowote inaweza kuzimika.
       Mathayo 13:19

ii. zilizoanguka wenye miamba.
-ni mtu ambaye ameanza kutambua mambo yaliyomo ndani ya wokovu. Kuomba,kusoma neno la Mungu.(ufahamu wake kuanza kupata nuru ya Mungu,kuanza kupa upeo)
-ni mtu ambae anayeanza kuona kuwa neno la Mungu kuwa linaanza kuwa na nguvu ndani yake, na kuanza kuliamini neno la Mungu.(anayeanza kupata ufahamu kuwa kuna msubiri Mungu ili nae afanye katika maisha yake).
-ila mwisho ukosa uvumilivu endelefu.
     Mathayo 13:20-21

iii. zilizoanguka kwenye miiba
-hii hatua mtu alishaanza kufaidi matuda ya ki mungu, mtu alishaanza kuelewa na kutumika pamoja na Mungu. Hii ni hatua hatari sana kwani ujuaje, kujilinganisha uanzia hapo.
Kuona sasa anaweza hata lile amefanya kuhubiri, kuponya hajatambua kuwa hizi ni ishara ambazo zitaambatana na waaminio.
Hatua unaweza kujilinganisha na mtu yeyote ambaye mwanzoni ulikuwa una mweshim lakini sasa unaona mnalingana.
    Mathayo 13:22
Tatizo kubwa mtu huyu hazai matunda yaliyo na kibali kwa Mungu.

iv. zilizoanguka kwenye udongo mzuri.
-ni mtu aliye jitoa mwanga kwa ajili ya ufalme wa Mungu.
Ni mtu ambaye ajui maana ya msamaha, upendo, uvumilivu, kiburi, asila, ubinafsi, kuchukuliana na mambo mengine kwakua anayeishi sio yeye bali kristo anafanyakazi.
Ni mtu aliye na nguvu ya kusimamia jambo katika maarifa na maongozi ya Roho mtakatifu.
-msingi mkubwa alio nao huyu ni nguvu ya kuelewa (kiwango cha juu cha kuelewa)
          Mathayo 13:23

Vitu vya kuimarisha:
I.uwezo wa akili yako kuyaelewa mambo ya mungu.
Hali hii upelekea kuwa na maarifa,akili njema.
Lazima uwe na tabia ya kutambua na kuelewa namna akili yako inavyoelewa mambo ya Mungu.

II.utayari wa kuyabeba ya Mungu
Wakati mwingine sio lazima uyaelewe mambo ya Mungu papo kwa papo bali uyakubali kama umepata kibali kwa uhakika anayeongea ni Mungu wala si kitu kingine.
-mariam katika kupokea ujumbe kutoka kwa malaika Gabriel
              Luka 1:26-33
-zakaria katika kuupokea ujumbe toka kwa malaika akiwa kama kuhani.
             Luka 1:8-15

III.ulinzi wa jambo lolote kabla ujaliluhusu kuwa na nafasi ndani yako.
Vile unavyo liruhu jambo ndani ya maisha yako ndivyo lina kutengeza wewe na kukupa sura yake. Mtu aliye na uchungu kuna kuwa na udhihirisho katika muonekano wake.
      Luka 5:43-45

Prepared by:
                    Cothey Nelson       -  0764 018 535 or Cotheyn@yahoo.com
                  
                    James Adili Katiti – 0713 398 042 or James.adili19@gmail.com


                                           

                                       “BARIKIWA ………SANA”
                                                                                                                       

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni